Familia zatafuta wapendwa wao, Mombasa | Kisa Changu Podcast cover art

Familia zatafuta wapendwa wao, Mombasa | Kisa Changu Podcast

Familia zatafuta wapendwa wao, Mombasa | Kisa Changu Podcast

Listen for free

View show details
Kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa familia mbili kwenye eneo la Likoni katika Kaunti ya Mombasa zinaendelea kuhangaika kuwatafuta wapendwa wao ambao wanaaminika kuchukuliwa kwa nguvu na maafisa wa Idara ya Usalama. Tumesema na familia ya Bakari Mwanyota mwenye umri wa miaka 38 wa Mtaa wa Consolata na familia ya Tunu Said mwenye umri wa miaka 55. Familia hizo mbili zinasema wapendwa wao walichukuliwa kwa nguvu mwezi Februari na Julai, 2021 na hadi sasa hawajui waliko. Robert Menza amezungumza na familia za wawili hao katika makala haya ya Kisa Changu Podcast.
adbl_web_anon_alc_button_suppression_t1
No reviews yet