Mlinzi wa Binafsi Aliyeponea Kifo | Kisa Changu Podcast cover art

Mlinzi wa Binafsi Aliyeponea Kifo | Kisa Changu Podcast

Mlinzi wa Binafsi Aliyeponea Kifo | Kisa Changu Podcast

Listen for free

View show details
Bernard Kibet amekuwa bawabu kwa zaidi ya miaka kumi. Japo kazi hii imemwezesha kuilisha familia yake na kuwasomesha watoto wake ni kazi ii hii ambayo imemsababishia machungu ambayo hatawahi kusahau kamwe. Kibet anasema wakati mmoja genge la majambazi lililokuwa kwenye eneo lake la kazi liliiba na kumpiga risasi kichwani bila kukusudia. Waliomwokoa walimchanganya na mili minane bila kukusudia tayari kupeleka katika hifadhi ya maiti lakini kwa bahati nzuri aliokolewa. Ilikuwa aje? Martin Ndiema amefanya mezungumzo na Kibet katika Podcast hii.
adbl_web_anon_alc_button_suppression_t1
No reviews yet