Siasa Podcast. Lonyangapuo: Kibaki alinikuza kisiasa cover art

Siasa Podcast. Lonyangapuo: Kibaki alinikuza kisiasa

Siasa Podcast. Lonyangapuo: Kibaki alinikuza kisiasa

Listen for free

View show details
Wiki hii katika Siasa Podcast tunaangazia maisha ya Hayati Mwai Kibaki ambaye alikuwa Rais wa tatu wa Taifa la Kenya. Kibaki anakumbukwa kuwa kiongozi aliyebuni mbinu mbalimbali za kuinua uchumi wa taifa na kukabili chagamoto zilizokumba taifa. Aidha, alizipa nafasi jamii ambazo zilihisi kutengwa wakati wake nafasi uongozini. Faith Kutere amezungumza na Gavana wa Kaunti ya Pokot Magharibi, John Lonyangapuo ambaye anadai kuwa safari yake ya kisiasa ilianza baada ya Mwai Kibaki kutambua jamii yake na kumpa nafasi ya kwanza ya uongozi akiwa Katibu Mkuu katika Wizara ya Viwanda.
adbl_web_anon_alc_button_suppression_t1
No reviews yet